UTANI TOKA KENYA


1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted! 2. Kwenu kuchafu mpaka mende zinatema mate. 3. Vile wewe mfupi, ukipiga picha ya passport inatokea full. 4. Ati(house) yenu ina gate lakini hakuna fence. 5. Baba alienda ku buy ngombe akaona ikikojoa akasema sitaki hiyo imetoboka. 6.Wee mblack mpaka ukikutana na mzungu afternoon anakusalimia: Good evening. 7. Mko wengi kwa house mpaka kuna rush hours na kukinyesha kunakuwa na jam. 8. Paka yenu noma mpaka ikishika panya inaomba chumvi, fork na pilipili. 9. We ni mrefu mpaka ukikunywa maziwa inafika kwa tumbo ikiwa mgando. 10.Wewe ni mweusi ukikanyanga makaa unawacha footprint nyeusi. 11. Kwenyu mkikunywa maji mnaitisha toothpick 12.
We ni mbishi hadi ulikataa kuzaliwa uchi 13. Kwenu kuna insecurity ikifika usiku hadi geti mnaingiza ndani 14. Kwenu ni wengi sana hadi mmeweka round about ndani. 15. Wewe ni mlafi hadi maji uliyochemshia mayai unayafanya supu. 16. We ni mjinga sana hadi blood test ulifeli. 17. Una chogi refu hadi ukigeuka haraka unaweza kuliona. 18. Una kichwa kikubwa hadi ukiingia kwenye daladala konda anakwambia "abiria usiingie na mizigo, tunaweka juu kwenye carrier 

No comments: