Picha 20: Tukio zima la Miss Tanzania 2016, lilofanyika Mwanza kwa Mara ya Kwanza

Leo kwa mara nyingine tena Tanzania imeingia kwenye Headline ya kumpata Miss Tanzania 2016 baada ya miaka miwili kupita bila kufanyika shindano la Miss Tanzania, Shindano la Miss Tanzania limefanyika Mwanza kwa mara ya kwanza na mrembo kutokea Kinondoni Dar es salaam Diana  Edward Lukumai amekuwa mshindi kwa kati ya warembo 30, millardayo.com inakupata picha za tukio zima na Ayo Tv itakusogezea tukio zima.
3x6a0495
3x6a0504
3x6a0520
3x6a0491
Wa pili kushoto Lilian Kamazima, Miss Tanzania 2014
3x6a0535
Christian Bella, akitoa Burudani
3x6a0563
3x6a0500
3x6a0487
3x6a0472
3x6a0428
Host wa shinadno la Miss Tanzania 2016, Jokati Mwegelo
3x6a0574
Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu
3x6a0606
3x6a0615
3x6a0622
Mshindi wa Miss Tanzania 2016, Diana Edward Lukumai
3x6a0631
3x6a0662
3x6a0659
3x6a0650
Zawadi ya Miss Tanzania 2106
3x6a0652

No comments: